BONDIA Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) leo anapanda ulingoni ukumbi wa O2 Arena, Greenwich kuzipiga na Mmarekani, Jermaine Franklin katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa. Joshua atakuwa anapigana kwa mara ya kwanza tangu apokonywe mataji yake ya IBF, IBO, WBA na WBO na Olexsandr Usyk wa Ukraine Agosti 20 mwaka jana ukumbi wa Jeddah Superdome, Jeddah, Saudi Arabia baada ya kupigwa kwa pointi. Lilikuwa pambano la pili mfululizo Joshua anapigwa na Usyk baada ya lile la Septemba 25, mwaka 2021 ukumbi wa Tottenham Hotspur Jijini London.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment