• HABARI MPYA

    Thursday, July 08, 2021

    MOHAMED HUSSEIN 'MMACHINGA' ATEULIWA KOCHA MPYA YANGA PRINCESS BAADA YA EDNA LEMA KUJIUZULU


    MSHAMBAULIAJI wa zamani wa Yanga, Mohammed Hussain Daima 'Mmachinga' ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa timu ya wanawake ya kkabu hiyo kuchukua nafasi ya Edna Lema aliyejiuzulu baada ya msimu uliopita.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOHAMED HUSSEIN 'MMACHINGA' ATEULIWA KOCHA MPYA YANGA PRINCESS BAADA YA EDNA LEMA KUJIUZULU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top