• HABARI MPYA

    Thursday, July 15, 2021

    MIDDLETON ANG'ARA, BUCKS YASAWAZISHA, 2-2 NA SUNS FAINALI NBA

    FORWARD Khris Middleton amefunga pointi 40, zikiwemo 10 straight, Giannis Antetokounmpo akaongeza pointi 26, rebounds 14 na assists nane kuiwezesha Milwaukee Bucks kufufua matumaini ya ubingwa wa NBA baada ya ushindi wa 109-103 dhidi ya Phoenix Suns na sasa kila timu imeshinda Sereis mbili (2-2).
    Upande wa Suns, Devin Booker alifunga pointi 42, lakini faulo zake zikawagharimu kipindi  cha pili na mkongwe Chris Paul amefunga pointi 10 tu na turnovers tano.
    Game 5 itafuatia Jumapili (Julai 18) huko Phoenix kuanzia Saa 10:00 Alfajiri, Game 6 Julai 21 na Game 7 Julai 23 #ESPN2. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MIDDLETON ANG'ARA, BUCKS YASAWAZISHA, 2-2 NA SUNS FAINALI NBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top