• HABARI MPYA

    Tuesday, July 20, 2021

    KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA UMRI WA MIAKA 23 CHAENDA ETHIOPIA KUSHIRIKI MICHUANO YA CECAFA U23



    KIKOSI cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 23, kimeondoka leo Dar es Salaam kwenda Ethiopia kwenye michuano ya CECAFA Challenge U23 iliyoanza mwishoni mwa wiki.


    Timu hiyo imeondoka baada ya kufanya mazoezi yake ya mwisho leo asubuhi Uwanja wa JMK Park, Dar es Salaam na kitafungua dimba kesho dhidi ya U23 ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA UMRI WA MIAKA 23 CHAENDA ETHIOPIA KUSHIRIKI MICHUANO YA CECAFA U23 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top