• HABARI MPYA

    Thursday, July 15, 2021

    MESSI ASAINI MKATABA WA PUNGOZO KUBAKI BARCELONA

    NA huko Hispania taarifa zinasema Muargentina Lionel Messi amesaini mkataba wa miaka mitano kubaki Barcelona – lakini kwa punguzo la asilimia 50 ya malipo.
    Mkataba huo mpya aliosaini baada ya ule wa awali kumalizika utamfanya adumu Camp Nou hadi atakapofikisha umri wa miaka 39. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI ASAINI MKATABA WA PUNGOZO KUBAKI BARCELONA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top