MWANAMUZIKI nguli nchini na kiongozi wa bendi kongwe ya muziki wa Dansi, 'The Kilimanjaro Band' maarufu kwa jina la Wana Njenje, Waziri Ally Seif amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Mwanayamala, jijini Dar es Salaam.
Taarifa zimesema Waziri alifikwa na umauti katika hospitali hiyo muda mfupi baada ya kufikishwa kwa matibabu kufuatia kuzidiwa usiku huu.
0 comments:
Post a Comment