// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BODI YAAHIDI KUFANYIA MAREKEBISHO DOSARI ZILIZOJITOKEZA KATIKA MSIMU WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA ULIOMALIZIKA ILI MSIMU UJAO MAMBO YAWE TOFAUTI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBODI YAAHIDI KUFANYIA MAREKEBISHO DOSARI ZILIZOJITOKEZA KATIKA MSIMU WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA ULIOMALIZIKA ILI MSIMU UJAO MAMBO YAWE TOFAUTI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BODI YAAHIDI KUFANYIA MAREKEBISHO DOSARI ZILIZOJITOKEZA KATIKA MSIMU WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA ULIOMALIZIKA ILI MSIMU UJAO MAMBO YAWE TOFAUTI
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeahidi kuzifanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza katika msimu uliomalizika wa ligi hiyo ili msimu ujao mambo yawe mazuri. Katika taarifa yao ya shukrani baada ya msimu wa Ligi Kuu wa 2020-2021, Bodi imetoa shukrani kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wadhamini waliofanya msimu huo ukamilike vyema. "Kwa umuhimu wa kipekee, Bodi imezichukua changamoto zote zilizojitokeza kwenye msimu wa 2020-2021 na kuahidi kuzifanyia kazi ili kuhakikisha msimu wa 2021-2022 unakuwa bora zaidi ya msimu huu tuliomaliza," imesema taarifa ya Bodi.
Item Reviewed: BODI YAAHIDI KUFANYIA MAREKEBISHO DOSARI ZILIZOJITOKEZA KATIKA MSIMU WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA ULIOMALIZIKA ILI MSIMU UJAO MAMBO YAWE TOFAUTI
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment