// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED WAIPIGA ASTON VILLA 2-1 NA KUWAKAMATA LIVERPOOL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED WAIPIGA ASTON VILLA 2-1 NA KUWAKAMATA LIVERPOOL - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED WAIPIGA ASTON VILLA 2-1 NA KUWAKAMATA LIVERPOOL
Manchester United imewafikia kwa pointi mabingwa watetezi, Liverpool baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao ya Manchester United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 40 na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 61 wakati la Aston Villa lilifungwa na Bertrand Traore dakika ya 58 Manchester United inafikisha pointi 33 sawa na Liverpool, baada ya timu zote kucheza mechi 16, ingawa mabingwa watetezi wanabaki juu kwa wastani wao mzuri wa mabaoPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment