Kinda Mspaniola, Brahim Diaz akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 18 na 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England hatua ya 16 Bora usiku wa jana Uwanja wa Etihad na sasa kikosi cha Pep Guardiola kitakutana na mshindi kati ya Leicester City na Southampton katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disaster strikes for highly-rated NFL Draft star Jermod McCoy as teams
completely ignore him in top 100 picks
-
The 6-foot-1, 188lb cornerback out of Tennessee was projected to be picked
in the top 20 in Pittsburgh, and had been holding out hopes for a top-10
selecti...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment