Kinda Mspaniola, Brahim Diaz akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 18 na 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England hatua ya 16 Bora usiku wa jana Uwanja wa Etihad na sasa kikosi cha Pep Guardiola kitakutana na mshindi kati ya Leicester City na Southampton katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Tiger Woods Hopes to Play in Next 3 Majors on PGA Tour Schedule
After Masters
-
After playing all four rounds at the Masters last month, Tiger Woods is
planning to play in the remaining majors on the PGA Tour calendar this
year. During...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment