Winga Mbrazil, Malcom Filipe Silva de Oliveira maarufu tu kama Malcom, akifumua shuti ndani ya eneo la penalti kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Boca Juniors kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou huo mchezo wake wa kwanza baada ya kusajiliwa kutoka Bordeaux. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Leonel Messi dakika ya 39 na Rafael Alcantara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment