Winga Mbrazil, Malcom Filipe Silva de Oliveira maarufu tu kama Malcom, akifumua shuti ndani ya eneo la penalti kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Boca Juniors kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou huo mchezo wake wa kwanza baada ya kusajiliwa kutoka Bordeaux. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Leonel Messi dakika ya 39 na Rafael Alcantara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment