Kocha wa mazeozi ya viungo wa Simba SC, Mtunisia Adel Zrane (kulia) akimuelekeza mshambuliaji Adam Salamba wakati akimuandaa kuingia uwanjani Jumatano katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Adel Zrane akimuelekeza kwa vitendo Adam Salamba
Hapa Adel Zrane anamuongoza Salamba kufanya mazoezi ya kujiweka fiti
Na pamoja na kuingia dakika 10 za mwisho, lakini Adam Salamba aliwahenyesha mabeki wa Tanzania Prisons
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment