Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea dakika ya 81, akimalizia pasi ya Eden Hazard katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal Uwanja wa Stamford Bridge, London. Alonso alianza kumsetia Pedro kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya tisa kabla ya Alvaro Morata kufunga la pilio dakika ya 20, lakini Arsenal ikazinduka na kusawazisha yote kupitia kwa Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 na Alex Iwobi dakika ya 41. Hicho kinakuwa kipigo cha pili mfululizo kwa kwa kocha Mspaniola, Unai Emery katika ligi tangu arithi mikoba ya kocha wa muda mrefu wa The Gunnes, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘One of my outstanding ministers’ – Tinubu salutes Umahi on birthday
-
President Bola Tinubu has congratulated the Minister of Works, Engineer
David Umahi, as he marks his birthday on July 25, describing him as one of
the mo...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment