• HABARI MPYA

    Sunday, August 26, 2018

    EDGAR FONGO, SURE BOY, CHINA NA SIKINDE MBUNGA YANGA TAYARI KUIVAA SIMBA 1987

    Wachezaji wa Yanga kutoka kulia Edgar Fongo, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Athumani China na Celestine Sikinde Mbunga wakiwa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wa jadi, Simba SC mwaka 1987
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EDGAR FONGO, SURE BOY, CHINA NA SIKINDE MBUNGA YANGA TAYARI KUIVAA SIMBA 1987 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top