Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Alaves jana Uwanja wa Camp Nou. Philippe Coutinho alifunga bao la pili dakika ya 83, Messi akiweka rekodi ya kuifungia bao la 6000 Barca katika Ligi baada ya mwaka 2009 kuifungia la 5000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment