Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Alaves jana Uwanja wa Camp Nou. Philippe Coutinho alifunga bao la pili dakika ya 83, Messi akiweka rekodi ya kuifungia bao la 6000 Barca katika Ligi baada ya mwaka 2009 kuifungia la 5000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
O'Sullivan-Higgins match set for thrilling finish
-
The World Championship last-16 tie between Ronnie O'Sullivan and John
Higgins is set for a dramatic end after the Scot closed the deficit to two
frames.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment