Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Alaves jana Uwanja wa Camp Nou. Philippe Coutinho alifunga bao la pili dakika ya 83, Messi akiweka rekodi ya kuifungia bao la 6000 Barca katika Ligi baada ya mwaka 2009 kuifungia la 5000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man ‘falls overboard from cruise ship’ as major search launched in Scotland
-
The man reportedly went overboard around 40 nautical miles from Anstruther,
Fife, police said
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment