Tyson Fury (kushoto) akimuadhibu mpinzani wake, Francesco Pianeta katika pambano lao la usiku huu Uwanja wa Windsor Park, Belfast. Fury ameshinda kwa pointi na kitangaza rasmi pambano lake lijalo ni dhidi ya Deontay Wilder ambaye alikuwepo kwenye pambano hilo na kukiri juu ya hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘One of my outstanding ministers’ – Tinubu salutes Umahi on birthday
-
President Bola Tinubu has congratulated the Minister of Works, Engineer
David Umahi, as he marks his birthday on July 25, describing him as one of
the mo...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment