Wachezaji wa Paris Saint-Germain, Edinson Cavani, Kyllian Mbappe na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Angers SCO kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa leo Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Cavani alifunga la kwanza dakika ya 12, Mbappe la pili dakika ya 51 na Neymar la tatu dakika ya 66, wakati la Angers SCO limefungwa na Thomas Mangani dakika ya 21 kwa penalti
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment