Wachezaji wa Paris Saint-Germain, Edinson Cavani, Kyllian Mbappe na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Angers SCO kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa leo Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Cavani alifunga la kwanza dakika ya 12, Mbappe la pili dakika ya 51 na Neymar la tatu dakika ya 66, wakati la Angers SCO limefungwa na Thomas Mangani dakika ya 21 kwa penalti
Bennacer flies out for new job in Qatar after Milan terminate contract
-
Ismael Bennacer’s time at Milan is finally over after confirmation his
contract was terminated, allowing him to fly out to join Al-Gharafa in the
Qatar Sta...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment