Wachezaji wa Paris Saint-Germain, Edinson Cavani, Kyllian Mbappe na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Angers SCO kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa leo Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Cavani alifunga la kwanza dakika ya 12, Mbappe la pili dakika ya 51 na Neymar la tatu dakika ya 66, wakati la Angers SCO limefungwa na Thomas Mangani dakika ya 21 kwa penalti
Ben Foster among five Watford departures
-
Ben Foster, Nicolas Nkoulou, Andre Gray, Juraj Kucka and Peter Etebo have
all left Watford. Goalkeeper Foster, 39, has been released at the end of
his cont...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni