Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment