Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump to deliver remarks to crypto conference on Saturday, White House says
-
WASHINGTON, April 23 (Reuters) - U. President Donald Trump will deliver
remarks to a cryptocurrency conference on Saturday in Palm Beach,
Florida, the Wh...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment