Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran invites Black Stars to camp in their country ahead of World Cup
-
Foreign Minister of Iran, Hossein Amir-Abdollahian has extended an
invitation to the Ghana national team to camp in the country ahead of the
2022 FIFA Worl...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni