Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness: UConn becomes the first reigning national champions to reach
the Elite Eight since 2007 after beating San Diego State... as Clemson
spoils Arizona's homecoming hopes
-
The Connecticut Huskies extended their streak of double-digit victories in
March Madness to nine in a row with a victory over San Diego State in a
rematch ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment