Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 25, 35 na 75 katika ushindi wa 6-1 wa Manchester City dhidi ya Huddersfield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 31, David Silva dakika ya 48 na Terence Kongolo aliyejifunga dakika ya 84, wakati la Huddersfield United yamefungwa na Jon Stankovic dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal 3-0 Bournemouth: Mikel Arteta's men go four points at the top of
the Premier League after goals from Bukayo Saka, Leandro Trossard and
Declan Rice in a game dominated by two major VAR controversies
-
Bukayo Saka and Leandro Trossard got the vital goals for the Gunners but
two major question marks over VAR will dominate the discussion of the game,
after ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment