Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 25, 35 na 75 katika ushindi wa 6-1 wa Manchester City dhidi ya Huddersfield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 31, David Silva dakika ya 48 na Terence Kongolo aliyejifunga dakika ya 84, wakati la Huddersfield United yamefungwa na Jon Stankovic dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Calum McFarlane responds to claims Chelsea stars got Liam Rosenior the sack
as he hits back at critics of their 'character' after beating Leeds to
reach FA Cup final
-
KIERAN GILL AT WEMBLEY: Chelsea's interim manager Calum McFarlane insisted
his players proved to their army of critics that they have character after
beati...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment