Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment