Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment