Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mystik Dan wins the 150th Kentucky Derby at the wire, edging out Sierra
Leone in second and Forever Young in a stunning three-way photo finish
-
One of the tightest finishes in Kentucky Derby history punctuated the
race's 150th running as Mystik Dan just barely had his nose ahead to win
the first le...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment