Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Parents of Super Bowl champion who died by suicide at 38 suspect he
suffered from CTE... but admit they'll never know the truth
-
The parents of late NFL offensive lineman Jordan Devey have opened up about
his suicide and their suspicion that he suffered from a degenerative brain
dise...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment