Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akisikitika baada ya kugongesha mwamba shuti lake akiwa jirani na lango la Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands timu hizo zikitoka sare ya 1-Willy Boly alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 57 tu, kabla ya Aymeric Laporte kuisawazishia Man City dakika ya 69, kocha Pep Guardiola akipunguzwa kasi baada ya kushinda mechi mbili mfululizo za mwanzo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U23 empfängt Waldhof Mannheim
-
Mit dem SV Waldhof Mannheim empfängt die U23 von Borussia Dortmund am
Samstag einen ehemaligen Bundesligisten im Stadion Rote Erde. Anstoß ist um
14 Uhr. D...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment