Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akisikitika baada ya kugongesha mwamba shuti lake akiwa jirani na lango la Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands timu hizo zikitoka sare ya 1-Willy Boly alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 57 tu, kabla ya Aymeric Laporte kuisawazishia Man City dakika ya 69, kocha Pep Guardiola akipunguzwa kasi baada ya kushinda mechi mbili mfululizo za mwanzo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump to deliver remarks to crypto conference on Saturday, White House says
-
WASHINGTON, April 23 (Reuters) - U. President Donald Trump will deliver
remarks to a cryptocurrency conference on Saturday in Palm Beach,
Florida, the Wh...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment