Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
Proud dad Tom Brady backs daughter Viv, 13, to follow him into sports with
stunning Instagram video
-
The 13-year-old daughter of the seven-time Super Bowl champion proved she's
every bit as athletic as her father in the clip Brady posted to Instagram
on Su...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment