Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
Aston Villa make double-your-money offer of £120,000-per-week to Burnley defender James Tarkowski
-
Aston Villa are rivalling Everton and Fulham to sign centre-back Tarkowski
who will be a free agent this summer when his contract at relegated Burnley
expi...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni