Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
How can I watch West Ham v City on TV?
-
Find out how you can watch City’s Premier League encounter with West Ham
from wherever you are in the world.Our attention turns back to the league
as we fa...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment