Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
FG partners WHO, CSOs to end unsafe food cases in Nigeria
-
The federal government has partnered with WHO and CSOs to implement a
comprehensive strategy to eradicate cases of unsafe food in Nigeria.
The post FG pa...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment