Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
LeBron James and the Lakers keep their NBA playoff hopes alive as LA's star
man puts up 30 points in 119-108 win over the Nuggets to reduce series
deficit to 3-1 and set up crucial fifth game
-
LeBron James scored 30 points to help the Los Angeles Lakers stave off
elimination with a 119-108 win over the Denver Nuggets on Saturday night in
Game 4 o...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment