Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment