Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League club whose fans will have to fork out nearly
£5,000 to follow their team this season - as staggering new data reveals
where every side ranks, with surprise No 1
-
New data has revealed that it could cost £5,000 to follow the most
expensive team in the Premier League this season home and away - and that's
a conservati...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment