Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Parents of Super Bowl champion who died by suicide at 38 suspect he
suffered from CTE... but admit they'll never know the truth
-
The parents of late NFL offensive lineman Jordan Devey have opened up about
his suicide and their suspicion that he suffered from a degenerative brain
dise...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment