Mshambuliaji anayecheza kwa mkopo Valencia kutoka Chelsea, Michy Batshuayi akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa The Blues, Diego Costa ambaye sasa anachezea Atletico Madrid baadfa ya wawili hao kukutana kwenye baina ya timu zao za sasa iliyomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Mestalla. Atletico ilitangulia kwa bao la Angel Martin Correa dakika ya 26, kabla ya Rodrigo Moreno Machado kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AfDB approves $1.5Bn facility to counter food crisis on the continent
-
The African Development Bank has approved a $1.5 billion facility to help
African countries avert a looming food crisis over the next two years.
With the...
Dakika 23 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni