Mshambuliaji anayecheza kwa mkopo Valencia kutoka Chelsea, Michy Batshuayi akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa The Blues, Diego Costa ambaye sasa anachezea Atletico Madrid baadfa ya wawili hao kukutana kwenye baina ya timu zao za sasa iliyomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Mestalla. Atletico ilitangulia kwa bao la Angel Martin Correa dakika ya 26, kabla ya Rodrigo Moreno Machado kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo's former private chef reveals the 'unnatural' drink
superstar footballer has banned from his diet - as he opens up on the
secrets behind 41-year-old's ripped physique
-
Ronaldo, 41, has been praised for his longevity as he continues to play
football into the fifth decade of his life, with the veteran primed to lead
the lin...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment