Mshambuliaji anayecheza kwa mkopo Valencia kutoka Chelsea, Michy Batshuayi akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa The Blues, Diego Costa ambaye sasa anachezea Atletico Madrid baadfa ya wawili hao kukutana kwenye baina ya timu zao za sasa iliyomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Mestalla. Atletico ilitangulia kwa bao la Angel Martin Correa dakika ya 26, kabla ya Rodrigo Moreno Machado kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Kerr: 'A Lot of Value' in Keeping Steph, Klay, Draymond Together
'For Life'
-
After the Golden State Warriors' season-ending play-in tournament loss to
the Sacramento Kings on Tuesday, head coach Steve Kerr expressed the
importance of…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment