• HABARI MPYA

    Tuesday, August 28, 2018

    AZAM FC NA NDANDA KATIKA PICHA JANA CHAMAZI

    Kiungo mshambuliaji Mzimbabwe wa Azam FC, Tafadzwa Kutinyu akimtoka beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-0 
    Beki wa Ndanda FC akimvuta mshambuliaji wa Azam FC, Danny Lyanga kumpunguza kasi
    Beki wa Azam FC, Abdallah Kheri akipambana katikati ya wachezaji wa Ndanda 
    Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akipiga shuti wakati amebanwa na wachezaji wa Ndanda FC
    Kiungo wa Azam FC, Joseph Mahundi akimtoka beki wa Ndanda 
    Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Ndanda FC 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA NDANDA KATIKA PICHA JANA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top