Kiungo mshambuliaji Mzimbabwe wa Azam FC, Tafadzwa Kutinyu akimtoka beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-0
Beki wa Ndanda FC akimvuta mshambuliaji wa Azam FC, Danny Lyanga kumpunguza kasi
Beki wa Azam FC, Abdallah Kheri akipambana katikati ya wachezaji wa Ndanda
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akipiga shuti wakati amebanwa na wachezaji wa Ndanda FC
Kiungo wa Azam FC, Joseph Mahundi akimtoka beki wa Ndanda
Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Ndanda FC
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment