Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Liverpool dakika ya 23 akimalizia pasi ya Roberto Firmino ikiilaza 1-0 Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Hilo linakuwa bao la 29 katika mechi 29 alizocheza Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Spurs interim boss Igor Tudor makes honest admission about
Champions League tie against Atletico Madrid amid Premier League survival
battle
-
MATT BARLOW IN MADRID: There's a quirk of cruelty about sending Tottenham
back to the Metropolitano for the first time right now, rekindling glories
of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment