Mshambuliaji mpya wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipasua katikati ya wachezaji wa Chievo leo katika mchezo wa Serie A Italia Uwanja wa Marc'Antonio Bentegodi mjini Verona. Juve imeshinda 3-2, mabao ya Sami Khedira dakika ya tatu, Mattia Bani aliyejifunga dakika ya 75 na Federico Bernardeschi dakika ya 90 na ushei, wakati ya Chievo yamefungwa na Mariusz Stepinski dakika ya 38 na Emanuele Giaccherini kwa penalti dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment