Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Nahodha wa Simba SC, John Bocco (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akimchenga mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana
Bennacer flies out for new job in Qatar after Milan terminate contract
-
Ismael Bennacer’s time at Milan is finally over after confirmation his
contract was terminated, allowing him to fly out to join Al-Gharafa in the
Qatar Sta...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment