Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Nahodha wa Simba SC, John Bocco (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akimchenga mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana
Eduardo Camavinga has emerged as Real Madrid's game-changer in route to Champions League final
-
ADRIAN KAJUMBA: Eduardo Camavinga is one of Europe's best young talents and
since his arrival from Rennes, he has delivered all that has been asked of
him ...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni