Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Selhurst Park mjini London, kufuatia James Milner kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Sox SS Xander Bogaerts Exits with Injury vs. Mariners After Verdugo Collision
-
Boston Red Sox shortstop Xander Bogaerts suffered an unspecified injury in
Friday's game against the . SOURCING, ETC. Despite this setback,...
Dakika 42 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni