Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akimkabidhi jezi yake shabiki bora wa mechi ya jana, baada ya kutokea benchi na kuifungia timu yake, KRC Genk ikiibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Waasland Beveren katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Luminus Arena na kuchaguliwa Mchezaji Bora wa mchezo huo.
Katika mechi ya Genk huwa kuwa uteuzi wa Mchezaji Bora na Shabiki Bora wa Mechi
Na Mbwana Samatta alifunga bao zuri jana akitokea benchi Genk ikiendeleza wimbi la ushindi
Sir Jim Ratcliffe 'tells Man United employees to work in the office or seek
alternative employment' after the billionaire 'revealed staff statistics
while working from home'
-
The new football chief is reportedly looking to boost productivity levels
among his staff after kicking off his reign, with the billionaire aiming to
trans...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment