Glenn Murray akiifungia bao la kwanza Brighton & Hove Albion dakika ya 35 ikishinda 3-2 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa AMEX katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Brighton yamefungwa na Shane Duffy dakika ya 27 na Pascal Gross dakika ya 44, wakati ya Man United yamefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 34 na Paul Pogba kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peller reveals why Davido missed his wedding
-
Popular Nigerian TikToker, Habeeb Hamzat, better known as Peller, has
explained why music star Davido was absent from his wedding ceremony.
The post Pell...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment