Glenn Murray akiifungia bao la kwanza Brighton & Hove Albion dakika ya 35 ikishinda 3-2 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa AMEX katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Brighton yamefungwa na Shane Duffy dakika ya 27 na Pascal Gross dakika ya 44, wakati ya Man United yamefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 34 na Paul Pogba kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spaceship captures detailed new view of 'The Martian' stranded astronaut
crater
-
A spaceship appears to fly over the location where an astronaut was
stranded in sci-fi film The Martian in new science data released this week.
A video fro...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment