Glenn Murray akiifungia bao la kwanza Brighton & Hove Albion dakika ya 35 ikishinda 3-2 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa AMEX katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Brighton yamefungwa na Shane Duffy dakika ya 27 na Pascal Gross dakika ya 44, wakati ya Man United yamefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 34 na Paul Pogba kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guggenheim Lifts Target (TGT) PT, Sees Turnaround Gaining Traction
-
Target Corporation (NYSE:TGT) is included among the 10 Best Dividend
Aristocrat Stocks to Buy in 2026. On April 20, John Heinbockel at
Guggenheim Partners ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment