Glenn Murray akiifungia bao la kwanza Brighton & Hove Albion dakika ya 35 ikishinda 3-2 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa AMEX katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Brighton yamefungwa na Shane Duffy dakika ya 27 na Pascal Gross dakika ya 44, wakati ya Man United yamefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 34 na Paul Pogba kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Execs Expect 'Active' Summer on Trade Market Due to New CBA
Restrictions
-
The upcoming NBA offseason is reportedly expected to be a busy one for
teams hoping to avoid penalties imposed on high-spending franchises by the
new…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment