Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia na wachezaji wenzake wa Juventus baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lazio kwenye mchezo wa Serie A leo Uwanja wa Allianz mjini Torino, mabao ya Miralem Pjanic dakika ya 30 na Mario Mandzukic dakika ya 75. Ronaldo ndiye aliyetoa pasi ya bao la pili, ingawa amefikisha mechi mbili tangu awasili Juventus bila kufunga bao
Atiku condoles Okonjo-Iweala over younger brother’s death
-
The presidential candidate of African Democratic Congress (ADC), Atiku
Abubakar, has commiserated with the Director-General of World Trade
Organisation (...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment