Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia na wachezaji wenzake wa Juventus baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lazio kwenye mchezo wa Serie A leo Uwanja wa Allianz mjini Torino, mabao ya Miralem Pjanic dakika ya 30 na Mario Mandzukic dakika ya 75. Ronaldo ndiye aliyetoa pasi ya bao la pili, ingawa amefikisha mechi mbili tangu awasili Juventus bila kufunga bao
Tim Anderson Told Donaldson They Didn't Have to Talk Again After 2019 'Jackie' Remark
-
Tim Anderson told reporters on Tuesday that when Josh Donaldson “I told
him, we never have to talk again,” Anderson said. “I won’t speak to you,
you...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni