Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia na wachezaji wenzake wa Juventus baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lazio kwenye mchezo wa Serie A leo Uwanja wa Allianz mjini Torino, mabao ya Miralem Pjanic dakika ya 30 na Mario Mandzukic dakika ya 75. Ronaldo ndiye aliyetoa pasi ya bao la pili, ingawa amefikisha mechi mbili tangu awasili Juventus bila kufunga bao
Trump to deliver remarks to crypto conference on Saturday, White House says
-
WASHINGTON, April 23 (Reuters) - U. President Donald Trump will deliver
remarks to a cryptocurrency conference on Saturday in Palm Beach,
Florida, the Wh...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment