Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza kwa penalti dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park leo. Bao lingine la Chelsea, DeAndre Yedlin alijifunga dakika ya 87 wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Kentucky's Ugonna Onyenso Enters Transfer Portal After NBA Draft
Declaration
-
After initially being very sure about his intention to turn pro, Ugonna
Onyenso is going to keep his college options open. According to Jeff
Goodman of The…
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment