Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza kwa penalti dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park leo. Bao lingine la Chelsea, DeAndre Yedlin alijifunga dakika ya 87 wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment