Kiungo Mbrazil, Lucas Rodrigues Moura da Silva, maarufu tu kama Lucas Moura (kushoto) akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakila za 52 na 84 katika ushindi wa 3-0 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Manchester United usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kulia ni mfungaji wa bao lingine la Spurs, Harry Kane dakika ya 50 na hicho ni kipigo cha pili mfululizo, wakitoka kupigwa 3-2 na Brighton & Hove Albion wiki iliyopita baada ya mwanzo mzuri wa ushindi mwembamba wa 2-1 dhidi ya Leicester City nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Faninfos für das Auswärtsspiel in Leipzig
-
Am Samstag (27.04.) spielt Borussia Dortmund um 15:30 Uhr in Leipzig. Rund
4.700 Fans aus Dortmund werden den BVB unterstützen. Wir haben für alle
mitreise...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment