Mshambuliaji Muargentina, Sergio Aguero akifurahia na wenzake Bernardo Silva na Brahim Diaz baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya West Bromwich Albion usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad, Mabao mengine ya City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 19 na Kevin De Bruyne dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James' Lakers knocked out with defeat by Nuggets
-
The Los Angeles Lakers are knocked out of the NBA play-offs by defending
champions, the Denver Nuggets.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment