Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 34, 63 kwa penalti na 83 ikishinda 3-1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao pekee la The Magpies limefungwa na Jacob Murphy dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Silva to leave Chelsea at end of season
-
Brazilian centre-back Thiago Silva will leave Chelsea at the end of the
2023-24 season.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment