Mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo akiifungia bao la kusawazisha Real Madrid dakika ya 53, kufuatia Romarinho kutangulia kuifungia Al Jazira dakika ya 41 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA usiku wa jana Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu (UAE). Gareth Bale aliifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 81 huku Ronaldo akivunja rekodi ya mabao kwenye michuano hiyo kihistoria baada ya kufikisha mabao sita, sasa akiwazidi Lionel Messi, Luis Suerez wote wa Barcelona wenye mabao matano kila mmoja sawa na Cesar Delgado wa Monterrey ya Mexico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conor McGregor dons 'Make Ireland Great Again' cap and declares he has the
'complete backing of the entire Trump administration' in social media posts
marking his White House visit
-
Conor McGregor proudly declared that he has the 'complete backing of the
entire Trump administration' in one of a flurry of social media posts after
his Wh...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment