Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 27 na 52 ikiwalaza wenyeji, Swansea City mabao 4-0 Uwanja wa Liberty usiku wa jana, huo ushindi wa 15 mfululizo na wa rekodi katika Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola yalifungwa na KevIn De Bruyne dakika ya 34 na Sergio Aguero dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodrygo latest: 'Five Premier League clubs - including Man United - ready
to battle over the Brazilian' as he looks to depart Real Madrid following
issue with Jude Bellingham
-
The Brazilian is primed for a summer exit from the Santiago Bernabeu after
reportedly deciding he doesn't want to play for the club again, and is
believed ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment