Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 27 na 52 ikiwalaza wenyeji, Swansea City mabao 4-0 Uwanja wa Liberty usiku wa jana, huo ushindi wa 15 mfululizo na wa rekodi katika Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola yalifungwa na KevIn De Bruyne dakika ya 34 na Sergio Aguero dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment