Riyad Mahrez (kushoto) akifumua shuti kumtungua kipa Fraser Forster kuifungia bao la kwanza Leicester City dakika ya 11 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's mjini Southampton, Hampshire. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki mawili dakika za 32 na 69 na Andy King dakika ya 38, wakati la Southampton lilifungwa na Maya Yoshida dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nikola Jokić Talks 'Amazing' Anthony Edwards Ahead of Nuggets-Wolves in NBA
Playoffs
-
Denver Nuggets center Nikola Jokić offered strong praise for Minnesota
Timberwolves guard Anthony Edwards in advance of their highly anticipated
Western…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment