Harry Kane akipiga penalti kuifungia bao pekee England dakika ya 27 kufuatia Dele Alli kuchezewa rafu kwenye eneo la hatari katika ushindi wa 1-0 jana dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Vilnius LFF mjini Vilnius PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ready for the final
-
United Women have been preparing for Sunday's huge game at Wembley, against
Chelsea.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment