Leon Goretzka akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili jana dakika za nane na 66 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Azerbaijan kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Fritz-Walter mjini Kaiserslautern. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Sandro Wanger dakika ya 54, Antonio Rudiger dakika ya 64 na Emre Can dakika ya 81, wakati la Azerbaijan limefungwa na Ramil Sheydaev dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment