Mario Gomez akishangilia baada ya kuifungia bao la sita Ujerumani dakika ya 79 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Norway jana kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Mercedes-Benz-Arena mjini Stuttgart. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Mesut Ozil dakika ya 10, Julian Draxler dakika ya 17, Timo Werner mawili dakika za 21 na 40 na Leon Goretzka dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian Wright and Alan Shearer rip apart Anthony Taylor's 'very messy'
decision which denied Cody Gakpo a clear goalscoring opportunity in
Liverpool's 2-2 draw with West Ham
-
The Reds' title hopes took yet another dent as there were held by David
Moyes ' men at the London Stadium, with the game including a controversial
call by ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment