Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi England dakika ya 59 ikiilaza Slovakia 2-1 katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Wembley jana usiku. Stanislav Lobotka alianza kuifungia Slovakia dakika ya tatu kabla ya Eric Dier kuisawazishia England dakika ya 37 na ushindi huo wa sita unaihakikishia Three Lions itamaliza kileleni mwa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United vs Leeds - Premier League LIVE: All the reaction as
Michael Carrick suffers first Old Trafford defeat in chaotic perfomance
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Manchester United host Leeds at Old Trafford in the Premier
League.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment