Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi England dakika ya 59 ikiilaza Slovakia 2-1 katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Wembley jana usiku. Stanislav Lobotka alianza kuifungia Slovakia dakika ya tatu kabla ya Eric Dier kuisawazishia England dakika ya 37 na ushindi huo wa sita unaihakikishia Three Lions itamaliza kileleni mwa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David Sullivan could be forced to sell his West Ham stake in wake of new
Independent Football Regulator rules - amid claims against co-owner, 77, of
abusing and preying on teenage girls for sex in BBC Panorama documentary
-
MIKE KEEGAN: David Sullivan could be forced to sell his stake in West Ham
United after he was accused of preying on women for sex.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment