Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza David Silva baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tatu Uwanja wa Riverside usiku wa jana katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England dhidi ya wenyeji, Middlesbrough. Man City ilishinda 2-0, bao lingine likifungwa na Sergio Aguero dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Latvia lawmaker Kulbergs says he will form four-party government
-
RIGA, May 25 (Reuters) - Latvian opposition lawmaker Andris Kulbergs of the
United List party said on Monday he would form a four-party government
coalitio...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment