Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza David Silva baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tatu Uwanja wa Riverside usiku wa jana katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England dhidi ya wenyeji, Middlesbrough. Man City ilishinda 2-0, bao lingine likifungwa na Sergio Aguero dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 week ago



.png)
0 comments:
Post a Comment