Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza David Silva baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tatu Uwanja wa Riverside usiku wa jana katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England dhidi ya wenyeji, Middlesbrough. Man City ilishinda 2-0, bao lingine likifungwa na Sergio Aguero dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haaland scores as Man City fend off Forest
-
Erling Haaland marked his return with a goal as Manchester City kept up the
pressure on Arsenal with victory over Nottingham Forest.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment