Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimlamba chenga kipa wa AFC Bournemouth, Artur Boruc kuwafungia bao la kwanza Wekundu hao wakilala 4-3 Uwanja wa Vitality leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Divock Origi na Emre Can wakati ya wenyeji yalifungwa na Callum Wilson kwa penalti, Ryan Fraser, Steve Cook na Nathan Ake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kentucky Derby Results 2024: Final Race Chart, Finishing Times and Purse
-
The 150th Kentucky Derby required a photo finish to decide the winner
between three horses, with Mystik Dan (at 16-1 odds) finally getting
announced as the…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment