Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimlamba chenga kipa wa AFC Bournemouth, Artur Boruc kuwafungia bao la kwanza Wekundu hao wakilala 4-3 Uwanja wa Vitality leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Divock Origi na Emre Can wakati ya wenyeji yalifungwa na Callum Wilson kwa penalti, Ryan Fraser, Steve Cook na Nathan Ake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Greatest ever Champions League comebacks RANKED: Liverpool are no strangers
to sensational turnarounds ahead of uphill battle against PSG - but do they
boast the best in history?
-
No competition does comebacks quite like the Champions League . The feeling
that a tie is never truly over is part of what makes elite European
football so...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment