Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Bayern Munich katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Pamoja na kufungwa, Atletico imeongoza kundi kwa pointi zake 15, ikifuatiwa na Bayern pointi 12 na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woman’s death following arrest by Edmonton police under investigation: ASIRT
-
The Alberta Serious Incident Response Team (ASIRT) is investigating the
death of a woman following an arrest by Edmonton police last month.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment