Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Bayern Munich katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Pamoja na kufungwa, Atletico imeongoza kundi kwa pointi zake 15, ikifuatiwa na Bayern pointi 12 na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jermain Defoe 'throws his hat into the ring for first managerial job'... as
the former England star claims it 'makes sense because of our relationship'
-
Since retiring in 2022, Defoe (inset) has combined punditry work (main pic)
alongside a career in coaching, with the former striker returning to Spurs
to w...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment