Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Bayern Munich katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Pamoja na kufungwa, Atletico imeongoza kundi kwa pointi zake 15, ikifuatiwa na Bayern pointi 12 na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch final face-off before Paul v Joshua in Miami
-
Watch Anthony Joshua and Jake Paul face-off at Thursday's weigh-in before
their controversial heavyweight bout in Miami.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment