Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Idrissa Gueye wa Everton dakika mbili tu baada ya kuingia akitokea benchi na kusababisha penalti ambayo ilikwenda kufungwa na Leighton Baines kuwapatia The Toffees bao la kusawazisha dakika ya 89, baada ya Zlatan Ibrahimovic kuanza kuwafungia Mashetani Wekundu dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlo Ancelotti hits back at Bernardo Silva after he called Real Madrid a
'weird team' following Manchester City's Champions League exit... as his
side prepare for Bayern Munich clash
-
Reigning champions City were beaten 4-3 on penalties by Madrid after a 1-1
draw at the Etihad - with the score 4-4 on aggregate - despite the home
side dom...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment