Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Idrissa Gueye wa Everton dakika mbili tu baada ya kuingia akitokea benchi na kusababisha penalti ambayo ilikwenda kufungwa na Leighton Baines kuwapatia The Toffees bao la kusawazisha dakika ya 89, baada ya Zlatan Ibrahimovic kuanza kuwafungia Mashetani Wekundu dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AT&T (T) Stock Faces A New Test After Russell Top 50 Exit
-
AT&T (NYSE:T) has been removed from the Russell Top 50 Index as part of the
latest index reconstitution. The change affects index-linked funds and
mandates...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment