• HABARI MPYA

    Sunday, December 04, 2016

    FELLAINI ACHOMESHA, MAN U YACHOMOLEWA BAO DAKIKA YA 89

    Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Idrissa Gueye wa Everton dakika mbili tu baada ya kuingia akitokea benchi na kusababisha penalti ambayo ilikwenda kufungwa na Leighton Baines kuwapatia The Toffees bao la kusawazisha dakika ya 89, baada ya Zlatan Ibrahimovic kuanza kuwafungia Mashetani Wekundu dakika ya 42  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FELLAINI ACHOMESHA, MAN U YACHOMOLEWA BAO DAKIKA YA 89 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top