Diego Costa akishangilia na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 70 na Eden Hazard dakika ya 90, wakati Gary Cahil alijifunga dakika ya 45 kuipatia bao la kufutia machozi Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Racing driver's haunting final post just hours before tragic death in
seven-car crash during race that Formula One star Max Verstappen was taking
part in
-
A racing driver who was killed in a horror seven-car crash at Germany's
iconic Nurburgring circuit had shared his excitement at competing in the
event just...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment