Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Arsenal katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United usiku wa Jumamosi Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Mesut Ozil na Alex Oxlade-Chamberlain, wakati bao la wenyeji lilifungwa na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ododo seeks expertise of retired power sector stalwarts to advance
Nigeria’s sector
-
Kogi State Governor, Alh. Usman Ododo, has called on retired professionals
in Nigeria's power sector to bring their vast experience and institutional
mem...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment