Rais wa Simba SC, akibadilishana mikataba na Hamisi Kiiza leo |
Tovuti rasmi ya Simba SC imeandika leo kwamba Kiiza baada ya kusaini mkataba alisema; “Nimekuja na kitu tofauti kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Simba na wakae mkao wa kula maana ninaijua vizuri ligi ya Tanzania na kwa kushirikiana na wachezaji wenzang naamini tutafikia malengo ya kutwaa ubingwa msimu ujao wa ligi”.
Hamis Kizza ni mchezaji kutoka Uganda ambaye pia anacheza timu ya Taifa ya Uganda, Uganda Cranes.
0 comments:
Post a Comment